Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya UMOJA WA ULAYA

Askofu Mkuu Gabriele Caccia, Mwakilishi wa Kudumu wa Vatican katika Umoja wa Mataifa.

Picha
KILINGENI Vatican NEWS Askofu Mkuu Gabriele Caccia, Mwakilishi wa Kudumu wa Vatican katika Umoja wa Mataifa. Ask.Caccia:Hakikisha mazingatio ya maadili ya AI yawe msingi na usambazaji wa maendeleo Vatican inasisitiza umuhimu wa kuhakikisha kwamba maendeleo na matumizi ya AI daima yanabaki katika huduma ya wanaume na wanawake,kukuza udugu na kuhifadhi fikra makini na uwezo wa utambuzi.Haya yameo katika hotuba ya Askofu Mkuu Caccia,Mwakilishi wa Kudumu wa Vatican katika Umoja wa Mataifa huko New York,Marekani aliyotoa kwenye kikao maalum cha ECOSOC kuhusu Akili Mnemba jijini New York -Marekani tarehe 6 Mei 2025. Na Angela Rwezaula -Vatican. Askofu Mkuu Gabriele Caccia Mwakilishi wa Kudumu wa Vatican katika Umoja wa Mataifa alitoa hotuba yake katika Mkutano Maalum wa Baraza la Kiuchumi na Kijamii (ECOSOC) ambalo ni jukwaa kuu la Umoja wa Mataifa, kuhusu Akili Mnemba tarehe 6 Mei 2025 huko mjini New York, Marekani. Katika Hotuba ya kikao cha kwanza kilichoongozwa na mada ya “Mitindo inayo...

Machafuko ya kisiasa huku muungano wa Ujerumani ukishindwa kumchagua kansela

Picha
KILINGENI Vyama vikuu vya kisiasa nchini Ujerumani vimeshindwa kumchagua mgombea aliyekubaliwa kama kansela katika wakati wa kihistoria kwa siasa za taifa la Umoja wa Ulaya. PICHA YA FILE: Friedrich Merz, kiongozi wa Christian Democratic Union (CDU), akihudhuria hafla ya kutia saini mkataba wa muungano, Mei 05, 2025.  ©   Sean Gallup / Getty Images Muungano unaopendekezwa wa vyama vya kiliberali na kihafidhina nchini Ujerumani umeshindwa kumchagua kansela katika kura ya duru ya kwanza ya bunge la Ujerumani. Frederich Merz, mgombea wa Christian Democratic ambaye pia aliungwa mkono na chama cha kiliberali cha SPD, alipata kura 310 siku ya Jumanne, na kupungukiwa na kura sita kati ya 316 zinazohitajika kwa wingi wa kura. Kikao hicho kiliahirishwa kwa mashauriano miongoni mwa makundi ya kisiasa kuhusu hatua zao zinazofuata. Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Ujerumani, kushindwa kwa kura hiyo ni mara ya kwanza katika historia ya baada ya vita vya Ujerumani kwa mgombea wa uka...