Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya USALAMA WA VIWANJA VYA NDEGE

Moscow yajibu kura ya shirika la Umoja wa Mataifa la usafiri wa anga ya MH17

Picha
Uchunguzi wa kuangushwa kwa ndege hiyo katika anga ya Ukraine mwaka 2014 ulikuwa wa upendeleo, Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi imesema. Mawakili walihudhuria ukaguzi wa majaji wa ujenzi upya wa mabaki ya MH17 mnamo Mei 26, 2021 huko Reijen, Uholanzi.  ©   Piroschka van de Wouw / Picha za Getty Urusi imekanusha madai ya shirika la Umoja wa Mataifa la usafiri wa anga kwamba ilihusika na kudunguliwa kwa ndege ya shirika la ndege la Malaysia 2014 mashariki mwa Ukraine. Moscow imesisitiza kuwa uchunguzi unaoongozwa na Uholanzi kuhusu tukio hilo ulichochewa kisiasa na ulitegemea ushahidi  "wa kutiliwa shaka"  uliowasilishwa na Kiev. "Msimamo mkuu wa Moscow unabakia kuwa Urusi haikuhusika katika ajali ya MH17, na kwamba taarifa zote zinazopingana na Australia na Uholanzi ni za uongo,"  Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi ilisema kwenye tovuti yake Jumanne. Kauli hiyo ilikuja baada ya Baraza la Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) kupiga kura kwamba Urusi ime...

Korea Kaskazini 'yaiba mabilioni kutengeza makombora'

Picha
Korea Kaskazini inasema jaribio la hivi karibuni la makombora yake ni onyo kwa Marekani na Korea Kusini Korea Kaskazini imeiba dola bilioni mbili (£1.6bn) kufadhili mpango wake wa silaha kupitia uvamizi wa kimtando, inasema ripoti ya Umoja wa Mataifa iliyovuja. Ripoti hiyo ya kisiri inasema Pyongyang inalenga mabenki na na ubadilishanaji wa sarafu ya crypto-currency kukusanya pesa. Vyanzo vya habari vimethibitishia BBC kwamba UN ilikuwa ikichunguza mashambulio 35 ya kimtandoa. Korea Kaskazini ilifyetua makombora mawili siku ya Jumanne ikiwa ni mara ya nne imechukua hatua hiyo katika kipindi cha chini ya wiki mbili Katika taarifa, Rais wa nchi hiyo Kim Jong-un amesema hatua hiyo ni onyo dhidi ya mazoezi ya pamoja ya kijeshi yanayofanywa na Marekani na Korea Kusini. Pyongyang imeelezea kuwa mazoezi hayo yanakiuka mkataba wa amani. How could war with North Korea unfold? Ripoti t iliyovuja na ambayo ilitumwa kwa kamati ya vikwazo vya Korea Kaskazini katika Baraza Kuu...

Waabiri ndege kisiri 'stowaway' huponea?

Picha
Mshukiwa aliyeabiri ndege kisiri inaaminika ameanguka kutoka kwenye ndege ya Kenya Airways  kutoka Nairobi kuelekea Heathrow, na kuanguka katika bustani moja huko kusini mwa London Lakini ni mara ngapi visa kama hivyo huhuhudiwa na hali huwa vipi wakati wa safari za aina hiyo? Ni mara ngapi visa hivi hutokea? Licha ya kwamba sio jambo la kawaida, hii sio mara ya kwanza kwa mtu kuingia katika sehemu za ndege wakati ndege hiyo ikisafiri na kujificha wakati wa safari ya kuelekea Uingereza. mwili ulipatikana katika bustani ilioko Offerton Road huko Clapham Kati ya Januari 2004 na Machi 2015, watu sita walioingia kwa siri katika ndegekatika uwanja wa ndege Uingereza walipatikana kwa mujibu wa  takwimu za hivi karibuni za shirika la viwanja vya ndege (CAA ). Mwingine mmoja alipatikana katika ndnai ya ndege ya Uingereza katika uwanja wa ndege ng'ambo. Takwimu kutoka shirika la viwanja vya ndege Marekani zimeashiria kuwa watu 96 wamewahi kujificha katika sehemu za ndege ...