Machapisho

FAHAMU KWANINI MWANAUME HUMWAGA SHAHAWA USIKU AKIWA AMELALA/USINGIZINI.

FAHAMU KWANINI MWANAUME HUMWAGA SHAHAWA USIKU AKIWA AMELALA/USINGIZINI. Mwanaume kumwaga mbegu akiwa usingizini huitwa ndoto nyevu (nocturnal emission) au kwa lugha ya kawaida kumwaga bila kukusudia usiku.  Hili ni jambo la kawaida, hasa kwa wanaume vijana na hata watu wazima. Sababu kuu huwa ni za Kisaikolojia, Maumbile na hata Mihemko ya mwili. Nimekuwa naletewa kesi hii na Wanaume wakijua labda ni Matatizo yao ya Ki-Afya au laa Wanavamiwa na Majini mahaba. Ni kweli kuna nafasi ya kuvamiwa na Pepo wa ngono hao jini mahaba lakini pia kuna pepo wa Kingono wajulikanao kama Sexual Transmitted Demons huwavamia Wanaume kwa wanawake pia lakini njia hii huwa ni tofauti na kuota ndoto nyevu. Zifuatazo ni Sababu za kwanini Mwanaume Humwaga Mbegu za Kiume akiwa Usingizini ama laa akiwa amelala hata inapokuwa Mchana. 1. Kwanza ni matokeo ya Mwili Kujisafisha. Mwili wa Mwanaume hutengeneza mbegu (manii) kila siku, Kama hajafanya tendo la ndoa wala kufanya punyeto yaani kujichua kwa muda mrefu...

Mcheza mieleka mtaalamu Hulk Hogan amefariki akiwa na umri wa miaka 71

Picha
Gwiji wa mieleka Hulk Hogan alifariki akiwa na umri wa miaka 71, WWE inasema  Mwanamieleka mtaalamu Terry Bollea, anayejulikana zaidi kama Hulk Hogan, alifariki Alhamisi akiwa na umri wa miaka 71, kulingana na World Wrestling Entertainment.  Bollea anatambulika sana kama nyota mkubwa zaidi wa mieleka wa wakati wote na alisaidia WWE kuwa mchungaji kama ilivyo leo. Katika miaka ya 1980 na 1990, haiba kubwa zaidi ya maisha ya Bollea - ndani na nje ya ulingo - ilimfanya kuwa maarufu na nyota wa kawaida, akiigiza katika sinema na kutambuliwa ulimwenguni kote.  "WWE inasikitika kujua kwamba WWE Hall of Famer Hulk Hogan ameaga dunia. Mmoja wa watu wanaotambulika zaidi katika tamaduni ya pop, Hogan alisaidia WWE kufikia kutambuliwa kimataifa katika miaka ya 1980," kampuni hiyo ilisema kwenye chapisho kwenye X. "WWE inatoa rambirambi zake kwa familia, marafiki na mashabiki wa Hogan." Jiji la Clearwater, Florida, lilisema katika taarifa kwamba polisi na wafanyakazi wa zima m...

MPANGO WA KUIMARISHA UBORA WA AFYA NA USTAWI WA WATOTO NI NYENZO MUHIMU- DKT. SHEKALAGHE

Picha
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. Seif Shekalaghe amesema Mpango wa Kuimarisha Ubora wa Afya na Ustawi wa Watoto ni nyenzo muhimu katika kuimarisha upatikanaji wa huduma bora za afya kwa watoto na vijana nchini. Dkt. Shekalaghe amesema hayo leo Julai 23, 2025 mkoani Arusha wakati wa kongamano la Pili la Kitaifa la Afya na Ustawi wa Watoto baada ya kuzindua rasmi mpango huo wenye lengo la kushughulikia changamoto zinazowakabili watoto na vijana ikiwemo matatizo ya lishe, mimba za utotoni na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU). Mpango huo umeandaliwa na Chama cha Madaktari Bingwa wa Watoto Tanzania (Pediatric Association of Tanzania – PAT) kwa kipindi cha miaka Mitano (5) kuanzia mwaka 2025 hadi 2030 ambao umejikita katika kushughulikia vikwazo vinavyokwamisha maendeleo ya kiafya kwa watoto na vijana, hasa wenye umri wa miaka 15-19. Vipaumbele vya mpango huo ni pamoja na kutoa ushauri wa kitaalamu kwa Wizara ya Afya na wadau wa sekta ya afya, kushawishi na kuandaa sera zitakazosaidia ...