MASHABIKI WA ARSENAL WAANZISHA KAMPENI YA KUMTIMUA ARSENE WENGER

MTEULE THE BEST

Mashabiki wa man u wanasema wenger abaki arsenal tuendelee kuwafaidi

Halafu shabiki la arsenal nae anasema wenger asitoke pale asajili tuh

Kwa mara kwanza kwenye maisha yangu ya soka ndip naona shabiki wa arsenal na manchester wanaungana kwenye kitu kimoja halafu malengo yao ni tofauti.

-man u wanasema wenger abaki tupumue

-shabiki wa arsenal wanasema wenger abaki bado kocha bora kwetu.

MORHNO ANA MSEMO MMOJA KWAMBA "UKIONA MPINZAN WAKO ANAKUPIGIA MAKOFI BASI JIULIZE UMEKOSEA WAPI"

HAI MAKE SENSE ET ARSENAL NA MAN U WOTE WANAMSAPOT WENGER MM CJAWAH KUONA.

KWA HYO UKIONA UNAKWENDA SAWA NA WAPINZAN JIULIZE ULIPOKOSEA WAP?

"MTU ANAEMTETEA WENGER NA MTU ANAETETE NDOA ZA JINSIA MOJA KWANGU MIMI WOTE NI SAWA KBSA"

YETU ARSENAL CYO WENGER

ARSENAL FC NOT ARSENE FC

WENGER OUT

WENGER OUT

WENGER OUT

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

KUMTUMAINIA MUNGU