KUMTUMAINIA MUNGU

MTEULE THE BEST

TUMSIFU YESU KRISTO WAPENDWA KATIKA BWANA!!!

MADA YA LEO: KUMTUMAINIA MUNGU

SOMO; zaburi 11:1-7

 

Kwake MWENYEZI-MUNGU nakimbilia usalama; mnawezaje basi kuniambia "ruka kama ndege mpaka mlimani"

Maana waovu wanavuta pinde wameweka mishale  tayari juu ya uta wawapige mshale watu wema gizani!

Kama misingi ikiaribiwa mtu mwadilifu atafanya nini?

MWENYEZI-MUNGU yumo hekaluni mwake takatifu ; kiti cha enzi cha MWENYEZI-MUNGU kiko mbinguni 

Kwa macho yake huwachungulia wanadamu  na kujua kila  kitu wanachofanya

MWENYEZI-MUNGU hupima waadilifu na waovu 

huwachukia kabisa  watu wakatili 

Atawanyeshea waovu makaa ya moto na madini ya kiberti upepo wa hari ndiyo itakuwa adhabu yao 

MWENYEZI-MUNGU ni mwadilifu na apenda uadilifu

watu wanyoofu watakaa pamoja naye

NENO LA BWANA

Unaruhusiwa kuchangia funguka tupate maoni yako

MUNGU AKUBARIKI



 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia