Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Vincent Company kuwa mkufunzi mchezaji katika klabu ya Andaerlecht


Vincent kompany anasema kwamba hatua yake ya kujiunga na klabu ya Anderlecht kama mchezaji mkufunzi ni uamuzi mzuri na vilevile mgumu aliochukua baada ya kutangaza kwamba ameondoka Man City.


Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33 ametka kandarasi ya miaka mitatu na klabu hiyo ya ubelgiji baada ya kuhudumu kwa kipindi cha mika 11 patika klabu ya Etihad mika minane akiwa nahodha wa klabu hiyo.

Ushindi wa 6-0 katika komme la FA dhidi y Watford ilikuwa mechi ya mwisho ya Kompany , baada ya kushinda mataji manne ya ligi, natali mawili ya comb la FA pamoja na mataji manne ya kombe la ligi. Fatica barba ya wadi katika mtandao wake wa facebook , beki huyo wa Ubelgiji alisema kwamba haamini kwamba anaondoka City.


Mara kadhaa nimekuwa nikifikiria kuhusu siku hii , alisema. Mwisho umekuwa karibu kwa miaka mingi.

Man City imenipatia kila kitu nami nimejaribu kujitolea kwa mali na hali .

Na katika barua ya pili iliotolewa saa chache baadaye , kamopnay alitangaza hatua yake ya kuelekea katika klabu ya Anderlecht , amabo wamesema kuwa kuwasili kwake katika klabu hiyo kunaadhimisha 'kuwasili kwa mwanamfalme'.

Nataka kugawana ujuzi wangu na kizazi kipya kijacho , alisema Kompany ambaye mara ya kwanza alijiunga na klabu ya Anderlecht akita na umbra wa miaka sita.Kwa hilo nitawaingizia ubelgiji ule uzalendo wa Manchester nchini Ubelgiji.

Ni wakati umefika kuondoka

Kompany alijiunga na na City kutoka klabu ya Hamburg kama kiungo wa kati wa saft ya ulinzi mwaka 2008 na akatajwa kuwa nahodha wa klabu miaka mitatau baadaye.

Alifunga goli lake la mwisho dhidi ya Leicester city tarehe sita mwezi Mei,shambulizi kali kutoka maguu 25 ambla lilipigiwa kura kama goli bora la msimu na kitengo cha BBC cha mechi ya siku.

Ushindi huo uliipandisha City juu kwa pointi moja katika kilele cha jedwali la ligi ya Uingereza kabla ya klabu hiyo kukamilisha msimu wao kwa ushindi dhidi ya klabu ya Brighton.Ni wakati umefika kwa mimi kuondoka., alisema Kompany.

Ijapokuwa ni vigumu kufanya hivyo , nawashukuru wale wote walionisaidia katika safari malum, na katika klabu maalum.

Nakumbuka siku yangu ya kwanza kama ninavyoiona siku yangu ya mwisho.

Nakumbuka ukarimu wa watu wa Manchester sitosahau vile mashabiki wa manchester City waliovyosalia kuniunga mkono kaaika waakt maya na kaaika waakt mzuri.

Mbali na mengine mengi tuliyopitia , mumeniunga mkono na kunipatia motisha ya kutosalimu amri.

Mwenyekiti wa Man City

Mwenyekiti wa Man City Khaldoon al Mubarak alisema: Kumekuwa na mchango mkubwa katika klabu ya manchester City lakini hakuna mchango kama ule uliotolewa na kompany Kwa muongo mmoja ssa amekuwa amekuwa maisha na dama ya klabu hiii. yenye talanta tele.

Amekuwa sauti ya klabu hii katika chumba cha maandalizi na mtu mpole na balozi akiwa .

Nje Kompany anajivunia klabu hii kama vile tulivyojivunia kuwa naye

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

Kuna faida kubwa kwa wapenzi kuwa marafiki KUTOKANA na mila mbalimbali, baadhi ya watu wamekuwa wakiamini kwamba mwanamke ni daraja la pili. Daraja la kwanza na lenye kuthaminiwa ni mwanaume. Yaani mwanamke hana kauli kwa mwanaume. Anakuwa kama mtumwa fulani hivi.  Mwanaume akiongea, basi ni maelekezo kama vile rais wa nchi anavyotoa maelekezo kwa watu walio chini yake. Hakuna wa kupinga. Akisema sitaki kitu fulani kifanyike, basi ni mpaka atakapotoa maelekezo mengine. Vinginevyo, maelekezo ya awali yatabaki kusimama kama sheria.  Wapo baadhi ya wanawake wanaofurahia aina hii ya uhusiano kwa sababu ya mazoea. Kwamba wamekuzwa hivyo, mwanaume ni mwanaume. Huu ni mfumo ambao watu wengi wamekuwa wakiuishi. Kuna ambao wanakubaliana nao, wengine hawakubaliani nao.  Watu wengi sana wamekuwa wakiishi katika malumbano katika mahusiano yao kutokana na mfumo huu wa maisha. Mwanamke hataki kuishi kama mtumwa, mume anakomaa kuonesha uanaume wake. Hakuna anayekubali kushuka,...

Urusi: Vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini havitafua dafu

MTEULE THE BEST Image caption Waziri wa maswala ya kigeni nchini Urusi Sergei Lavrov na mwenzeka wa Marekani Rex Tillerson Waziri wa maswala ya kigeni nchini Urusi Segei Lavrov amemwambia waziri wa ulinzi nchini Marekani Rex Tillerson kwamba kuiwekea vikwazo zaidi Korea Kaskazini hakutafua dafu. Taarifa iliochapishwa na wizara ya kigeni nchini Urusi inasema kuwa wawili hao walizungumza kwa njia ya simu na kushutumu majaribio ya makombora ya hivi karibuni yaliotekelezwa na Pyongyang . Lakini inasema kuwa bwana Lavrov alisisitiza kwamba diplomasia ndio njia ya pekee ya kumaliza wasiwasi katika rasi ya Korea, na kutaka hatua zozote dhidi ya taifa hilo kusitishwa akionya huenda zikasababisha madhara yasiojulikana. Waziri wa ulinzi nchini Marekani amesisitiza kuwa bado kuna fursa ya kidiplomasia katika kukabiliana na Korea Kaskazini. Mapema rais Trump alichapisha ujumbe katika akaunti yake ya Twitter akisema mazungumzo sio suluhisho.

Fuvu la binadamu wa kale liligunduliwa miaka 60 iliyopita nchini Tanzania

Fuvu la binadamu wa kale liligunduliwa miaka 60 iliyopita nchini Tanzania Miaka 60 siku kama ya leo ugunduzi mkubwa ulifanyika katika eneo la Olduvai Gorge, kwenye kreta ya Ngorongoro. Wanaakiolojia Louis na Mary Leakey waligundua fuvu la mtu anayeaminika kuwa ni wa kale zaidi waliyompa jina la Zinjanthropus. Ugunduzi huo uliofanyika saa nne asubuhi Julai 22, 1959 kipindi hicho kwenye eneo la Tanganyika ulikuwa wa vipande zaidi ya 100 ukasaidia katika kutambua asili ya watu wa awali duniani. Kabla ya ugunduzi huo, wanasayansi na wanahistoria walikuwa wakiamini kuwa binadamu wa kale walitokea Uchina baada ya ugunduzi wa mafuvu ya kale baina ya 1923 na 1927 nchini humo ya Homo eractus, ama maarufu kama Peking Man. Mafuvu hayo ya Uchina yalikuwa na umri wa takribani miaka 750,000. Mafuvu ya Olduvai eneo ambalo kwa sasa lipo Tanzania wakati wa ugunduzi wake lilikuwa na umri wa takribani miaka milioni 1.75, na hakuna mabaki ya mtu wa kale zaidi ambayo mpaka sasa yamegundul...