CORONA| EPL, LIGUE 1, BUNDESLIGA, LALIGA, UEFA, UUROPA , ITALY, N.K ZASIMAMISHWA


Coronavirus: Mechi za Ligi ya soka ya England kuahirishwa hadi tarehe 3 Aprili








Mechi za Ligi kuu ya soka ya England zitaahirishwa hadi tarehe 3 Aprili kufuatia baadhi ya wachezaji wa ligi hio kupatikana na maambukizi ya virusi vya Corona.



Mashindano yote Ligi ya soka ya Ulaya, mkiwemo Championi Ligi na Ligi ya Ulaya, mechi ambazo zilitarajiwa kuchezwa wiki ijayo, zimeahirishwa kutokana na mlipuko wa coronavirus.

Droo kwa ajili ya raundi ijayo, iliyopangwa kufanyika tarehe 20 Machi, pia imeahirishwa.

Katika Championi Ligi, mechi kati ya Manchester City dhidi ya Real Madrid, Juventus dhidi ya Lyon, Barcelona dhidi ya Napoli na Bayern Munich dhidi ya Chelsea zote zimeahirishwa.

Mechi za Manchester United, Wolves na Rangers katika Ligi ya Ulaya pia zimefutwa.

Mechi zote za robo fainali ya Ligi ya Ulaya ya vijana zilizokuwa zimepangwa kuchezwa tarehe 17 na 18 Machi pia zimesitishwa.

Uefa imesema kuwa maamuzi saidi kuhusu mpangilio wa kuahirisha mechi hizo "yatatolewa baadae".


Klabu ya Juventus imetangaza kwamba beki wa kati wa Italia Daniele Rugani amekutwa na virusi vya corona, na sasa amejiweka katika karantini

Bodi ya Soka ya Ulaya imewaalika wawakili wa wajumbe wa mashirikisho yote 55 kwa mkutano siku ya JUmanne ili kujadili mkakati wa kukabiliana na mlipuko wa coronavirus.

Mechi za Manchester United, Wolves na Rangers katika Ligi ya Ulaya pia zimefutwa.

Mechi zote za robo fainali ya Ligi ya Ulaya ya vijana zilizokuwa zimepangwa kuchezwa tarehe 17 na18 Machi pia zimesitishwa.

Uefa imesema kuwa maamuzi saidi kuhusu mpangilio wa kuahirisha mechi hizo "yatatolewa baadae".

Bodi ya Soka ya Ulaya imewaalika mawakili wa wajumbe wa mashirikisho yote 55 kwa mkutano siku ya JUmanne ili kujadili mkakati wa kukabiliana na mlipuko wa coronavirus.

Uefa imesema kuwa maamuzi kuhusu mpangilio wa kuahirisha mechi hizo "yatatolewa baadae".


Mpangilio wa Euro 2020 utajadiliwa katika mkutano huo.

Zaidi ya watu 125,000 wamepatikana na virusi vya corona katika nchi 118 kote duniani, kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani WHO. Idadi kamili ya vifoo vya watu ni zaidi ya 4,600.

Mechi zilizoahirishwa (zilizotarajiwe kuchezwa kati ya 17-19 Machi)

Champions League:

Bayern Munich dhidi ya Chelsea

Barcelona dhidi ya Napoli

Man City dhidi ya Real Madrid

Juventus dhidi ya Lyon


Mkufunzi wa Arsenal Mikel Arteta na mchezaji wa Chelsea Callum Hudson Odoi wana virusi vya corona


Winga wa Chelsea Callum Hudson Odoi pia amepatikana na virusi vya corona

Europa Ligi:

Bayer Leverkusen dhidi ya Rangers

Getafe dhidi ya Inter Milan

Shakhtar Donetsk dhidi ya Wolfsburg

Wolves dhidi ya Olympiakos

FC Basel dhidi ya Eintracht Frankfurt

FC Copenhagen dhidi ya Istanbul Basaksehir

Manchester United dhidi ya LASK

Roma dhidi ya Sevilla


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

KUMTUMAINIA MUNGU