KUFUZU AFCON

MBWANA SAMATTA  AIPAC ushindi taifa stars

Goli LA Samatta laipa ushindi TANZANIA  dhidi ya chad katika mchezo kutafuta tiketi yakufuzu fainali za mataifa Africa

Mechi imemalizikia chad 0:1Tanzania
Ilitanguliwa na  mchezo kati ya  BRNIN NS SUDAN KUSINI
Benin imeishinda Sudan kusini 2:1

Final hizo zitachezwa mwaka 2017 nchini gabbon

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

KUMTUMAINIA MUNGU