MANCHESTER UNITED

ManchesterManchester united ya azimia kumleta kocha machachali JOSE MOURIHNO kwa dau la pound 48$ million kwa sasa katia saini ya mkataba wa mwanzo kabisa na atalipwa pound 10mil kwa

Jose mourihno ninani;- ni kocha maarufu sana duniani nikocha mwenye kiu ya mafanikio
Aliwai kufundisha klabu maarufu sana duniani mfno
1; REAL MADIRD :- LA LIGA
2; CHERSEA :- UINGELEZA
Alipata mafanikio ila ilitimuliwa ktk timu hizi zote na  sasa anakalibishwa ktk klabu anayoipenda kuifundisha toka mwanzo

MANCHESTER UNITED AJAPATA UBIGWA WOWOTE BAADA YA KUONDOKA KWA SIR ALEX FUGERSON KUSTSFU KWAKE

VAN GAL AMESHA ANDALIWA KIASI CHA PAUND 10$ MILION KUVUNJA MKATABA

UNAZUNGUMZIAJE USAJIRI UHO WA KOCHA

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

KUMTUMAINIA MUNGU