Walioteuliwa katika orodha hiyo ni:
1. Ali Maaloul (Tunisia na Al Ahly)
2. Bertrand Traore (Burkina Faso na Lyon)
3. Cedric Bakambu (DR Congo na Villareal)
4. Christian Atsu (Ghana na Newcastle)
5. Christian Bassogog (Cameroon na Henan Jianye)
6. Denis Onyango (Uganda na Mamelodi Sundowns)
7. Eric Bailly (Cote d'Ivoire na Manchester United)
8. Essam El Hadary (Egypt na Al Taawoun)
9. Fabrice Ondoa (Cameroon na Sevilla)
10. Fackson Kapumbu (Zambia na Zesco)
11. Jean Michel Seri (Cote d'Ivoire na Nice)
12. Junior Kabananga (DR Congo na Astana)
13. Karim El Ahmadi (Morocco na Feyenoord)
14. Keita Balde (Senegal na Monaco)
15. Khalid Boutaib (Morocco na Yeni Malatyaspor)
16. Mbwana Samata (Tanzania na Genk)
17. Michael Olunga (Kenya na Girona)
18. Mohamed Salah (Egypt na Liverpool)
19. Moussa Marega (Mali na Porto)
20. Naby Keita (Guinea na RB Leipzig)
21. Percy Tau (South Africa na Mamelodi Sundowns)
22. Pierre-Emerick Aubameyang (Gabon na Borussia Dortmund)
23. Sadio Mane (Senegal na Liverpool)
24. Thomas Partey (Ghana na Atletico Madrid)
25. Victor Moses (Nigeria na Chelsea)
26. Vincent Aboubakar (Cameroon na Porto)
27. William Troost-Ekong (Nigeria na Bursaspor)
28. Yacine Brahimi (Algeria na Porto)
29. Youssef Msakni (Tunisia na Al Duhail)
30. Yves Bissouma (Mali na Lille)
Kuna faida kubwa kwa wapenzi kuwa marafiki KUTOKANA na mila mbalimbali, baadhi ya watu wamekuwa wakiamini kwamba mwanamke ni daraja la pili. Daraja la kwanza na lenye kuthaminiwa ni mwanaume. Yaani mwanamke hana kauli kwa mwanaume. Anakuwa kama mtumwa fulani hivi. Mwanaume akiongea, basi ni maelekezo kama vile rais wa nchi anavyotoa maelekezo kwa watu walio chini yake. Hakuna wa kupinga. Akisema sitaki kitu fulani kifanyike, basi ni mpaka atakapotoa maelekezo mengine. Vinginevyo, maelekezo ya awali yatabaki kusimama kama sheria. Wapo baadhi ya wanawake wanaofurahia aina hii ya uhusiano kwa sababu ya mazoea. Kwamba wamekuzwa hivyo, mwanaume ni mwanaume. Huu ni mfumo ambao watu wengi wamekuwa wakiuishi. Kuna ambao wanakubaliana nao, wengine hawakubaliani nao. Watu wengi sana wamekuwa wakiishi katika malumbano katika mahusiano yao kutokana na mfumo huu wa maisha. Mwanamke hataki kuishi kama mtumwa, mume anakomaa kuonesha uanaume wake. Hakuna anayekubali kushuka,...
Maoni