Ruka hadi kwenye maudhui makuu

WATAMBUE WACHEZAJI 30WALIO CHAGULIWA KUWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA AFRICA

Walioteuliwa katika orodha hiyo ni:
1. Ali Maaloul (Tunisia na Al Ahly)
2. Bertrand Traore (Burkina Faso na Lyon)
3. Cedric Bakambu (DR Congo na Villareal)
4. Christian Atsu (Ghana na Newcastle)
5. Christian Bassogog (Cameroon na Henan Jianye)
6. Denis Onyango (Uganda na Mamelodi Sundowns)
7. Eric Bailly (Cote d'Ivoire na Manchester United)
8. Essam El Hadary (Egypt na Al Taawoun)
9. Fabrice Ondoa (Cameroon na Sevilla)
10. Fackson Kapumbu (Zambia na Zesco)
11. Jean Michel Seri (Cote d'Ivoire na Nice)
12. Junior Kabananga (DR Congo na Astana)
13. Karim El Ahmadi (Morocco na Feyenoord)
14. Keita Balde (Senegal na Monaco)
15. Khalid Boutaib (Morocco na Yeni Malatyaspor)
16. Mbwana Samata (Tanzania na Genk)
17. Michael Olunga (Kenya na Girona)
18. Mohamed Salah (Egypt na Liverpool)
19. Moussa Marega (Mali na Porto)
20. Naby Keita (Guinea na RB Leipzig)
21. Percy Tau (South Africa na Mamelodi Sundowns)
22. Pierre-Emerick Aubameyang (Gabon na Borussia Dortmund)
23. Sadio Mane (Senegal na Liverpool)
24. Thomas Partey (Ghana na Atletico Madrid)
25. Victor Moses (Nigeria na Chelsea)
26. Vincent Aboubakar (Cameroon na Porto)
27. William Troost-Ekong (Nigeria na Bursaspor)
28. Yacine Brahimi (Algeria na Porto)
29. Youssef Msakni (Tunisia na Al Duhail)
30. Yves Bissouma (Mali na Lille)


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

Kuna faida kubwa kwa wapenzi kuwa marafiki KUTOKANA na mila mbalimbali, baadhi ya watu wamekuwa wakiamini kwamba mwanamke ni daraja la pili. Daraja la kwanza na lenye kuthaminiwa ni mwanaume. Yaani mwanamke hana kauli kwa mwanaume. Anakuwa kama mtumwa fulani hivi.  Mwanaume akiongea, basi ni maelekezo kama vile rais wa nchi anavyotoa maelekezo kwa watu walio chini yake. Hakuna wa kupinga. Akisema sitaki kitu fulani kifanyike, basi ni mpaka atakapotoa maelekezo mengine. Vinginevyo, maelekezo ya awali yatabaki kusimama kama sheria.  Wapo baadhi ya wanawake wanaofurahia aina hii ya uhusiano kwa sababu ya mazoea. Kwamba wamekuzwa hivyo, mwanaume ni mwanaume. Huu ni mfumo ambao watu wengi wamekuwa wakiuishi. Kuna ambao wanakubaliana nao, wengine hawakubaliani nao.  Watu wengi sana wamekuwa wakiishi katika malumbano katika mahusiano yao kutokana na mfumo huu wa maisha. Mwanamke hataki kuishi kama mtumwa, mume anakomaa kuonesha uanaume wake. Hakuna anayekubali kushuka,...

Urusi: Vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini havitafua dafu

MTEULE THE BEST Image caption Waziri wa maswala ya kigeni nchini Urusi Sergei Lavrov na mwenzeka wa Marekani Rex Tillerson Waziri wa maswala ya kigeni nchini Urusi Segei Lavrov amemwambia waziri wa ulinzi nchini Marekani Rex Tillerson kwamba kuiwekea vikwazo zaidi Korea Kaskazini hakutafua dafu. Taarifa iliochapishwa na wizara ya kigeni nchini Urusi inasema kuwa wawili hao walizungumza kwa njia ya simu na kushutumu majaribio ya makombora ya hivi karibuni yaliotekelezwa na Pyongyang . Lakini inasema kuwa bwana Lavrov alisisitiza kwamba diplomasia ndio njia ya pekee ya kumaliza wasiwasi katika rasi ya Korea, na kutaka hatua zozote dhidi ya taifa hilo kusitishwa akionya huenda zikasababisha madhara yasiojulikana. Waziri wa ulinzi nchini Marekani amesisitiza kuwa bado kuna fursa ya kidiplomasia katika kukabiliana na Korea Kaskazini. Mapema rais Trump alichapisha ujumbe katika akaunti yake ya Twitter akisema mazungumzo sio suluhisho.

Fuvu la binadamu wa kale liligunduliwa miaka 60 iliyopita nchini Tanzania

Fuvu la binadamu wa kale liligunduliwa miaka 60 iliyopita nchini Tanzania Miaka 60 siku kama ya leo ugunduzi mkubwa ulifanyika katika eneo la Olduvai Gorge, kwenye kreta ya Ngorongoro. Wanaakiolojia Louis na Mary Leakey waligundua fuvu la mtu anayeaminika kuwa ni wa kale zaidi waliyompa jina la Zinjanthropus. Ugunduzi huo uliofanyika saa nne asubuhi Julai 22, 1959 kipindi hicho kwenye eneo la Tanganyika ulikuwa wa vipande zaidi ya 100 ukasaidia katika kutambua asili ya watu wa awali duniani. Kabla ya ugunduzi huo, wanasayansi na wanahistoria walikuwa wakiamini kuwa binadamu wa kale walitokea Uchina baada ya ugunduzi wa mafuvu ya kale baina ya 1923 na 1927 nchini humo ya Homo eractus, ama maarufu kama Peking Man. Mafuvu hayo ya Uchina yalikuwa na umri wa takribani miaka 750,000. Mafuvu ya Olduvai eneo ambalo kwa sasa lipo Tanzania wakati wa ugunduzi wake lilikuwa na umri wa takribani miaka milioni 1.75, na hakuna mabaki ya mtu wa kale zaidi ambayo mpaka sasa yamegundul...