Rais
wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo June 09,2023 amefungua na
kushiriki Mkutano wa 14 wa Baraza la Biashara (TNBC), Ikulu Dar es
salaam ambapo moja ya mambo aliyoyasema kwenye hotuba yake ni kwamba
kazi kubwa inaendelea kufanyika ya kuboresha mifumo ya TEHAMA kwenye
Sekta za Umma ili ianze kusomana ambapo ameahidi kuwa sio zaidi ya miezi
sita RAISkinachotokea Bandarini atakuwa anaweza kukisoma akiwa Ikulu.

Rais
za Zanzibar Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akiwa kwenye Mkutano wa 14 wa
Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 09
Juni, 2023.


Rais za Zanzibar Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akiwa kwenye Mkutano wa 14 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 09 Juni, 2023.
Rais Samia amenukuliwa akisema āKazi kubwa inaendelea kufanyika ya kuboresha mifumo ya TEHAMA, mifumo yetu haisomani, taarifa hazioani, kazi tunayokwenda kufanya kwa nguvu kubwa sasa ni kufanya mifumo ndani ya Sekta ya Umma isomane pia iwe na vigezo vya Kimataifaā
āChangamoto zilizotajwa hapa hizo za Kariakoo na nini ni kwamba mifumo yetu haijaweza kuchukua taarifa zote hizo, kazi iliyopo sasa ni kuhakikisha mifumo yetu inabeba taarifa zote hizo ili tuweze kuwa na taarifa nyingi ambazo zitapelekwa kufanya maamuzi, hiyo ni kazi mbele yetu kwa upande wa Serikali na ninawaahidi nadhani sio zaidi ya miezi sita tutakuwa tunasoma kinachotokea Bandarini nakisoma Mimi Ikulu hukuā
āMafanikio
makubwa tumeyapata kupitia Royal Tour lakini Kuna changamoto kwamba
Wageni wanaokuja mwakani na mwaka unaofuata watakosa mahali pa kulala
kama tusipochangamka kujenga Mahotel sasa hivi kwahiyo Sekta binafsi
hiyo ni fursa muhimu ā
āNiombe upande wa Serikali tupunguze
michakato kwenye kutoa vibali vya ujenzi wa Mahoteli sijui mara NEMC
hajatoa ruhusa sijui nani kazuia nini!?, tuharakisheni kwasababu Watu
watakaokuja mwakani na mwaka utakaofuata hawana pa kulalaā
āKubwa
zaidi kwenye Sekta yenyewe kufanya marekebisho, takwimu zinaonesha
Wageni waliokuja mwaka jana ni 30% tu wamerudi mwaka huu hii, means Watu
wanakuja wanasema Tanzanja hatuji tena pamoja na vivutio tulivyonavyo,
tukaliangalie hilo ili wakija warudi na washawishi wengine kujaā
āKwa upande wa booking za Wageni takwimu zinaonesha Wageni wengi sana, hofu yetu mahali pa kulalaā
āNiombe upande wa Serikali tupunguze michakato kwenye kutoa vibali vya ujenzi wa Mahoteli sijui mara NEMC hajatoa ruhusa sijui nani kazuia nini!?, tuharakisheni kwasababu Watu watakaokuja mwakani na mwaka utakaofuata hawana pa kulalaā
āKubwa zaidi kwenye Sekta yenyewe kufanya marekebisho, takwimu zinaonesha Wageni waliokuja mwaka jana ni 30% tu wamerudi mwaka huu hii, means Watu wanakuja wanasema Tanzanja hatuji tena pamoja na vivutio tulivyonavyo, tukaliangalie hilo ili wakija warudi na washawishi wengine kujaā
āKwa upande wa booking za Wageni takwimu zinaonesha Wageni wengi sana, hofu yetu mahali pa kulalaā
mteulethebest
Maoni