Ruka hadi kwenye maudhui makuu

MOURHNO VS MAN UNITED

Is it happening? Is it finally happening?


Reports emanating from the Italian media will have you believe it is. Jose Mourinho is said to be "a matter of hours away"ā€‹ from finally taking the managerial reigns at Manchester United, and in the process bringing to an end one of the biggest will he/won't he stories in years.
LIVE: Reports in Italy suggest that Mourinho is close to agreeing #mufc dealhttps://t.co/IoLn9ad8Mj
ā€” Man United News (@ManUtdMEN) May 12, 2016
Current United boss Louis van Gaal has guided the team to the FA Cup final but after the midweek Premier League defeat at West Ham, the club have now found that their hopes of securing top four status is out of their hands. Manchester City earning a point at Swansea on the final day of the season will condemn United to fifth place in the table at best.

And it appears that United have finally made the decision to make the change, with Sky Sports Italy reporting that Mourinho is set to sign a contract to take over at Old Trafford imminently.

Mourinho was quizzed about the United speculation earlier this week, but has stated in the recent past that he would return to football management this summer regardless of where he goes, following his sacking by Chelsea in December. 
A translated version of the "Mourinho, yes to Manchester United" article via @SkySport. Thanks Google! #mufc pic.twitter.com/4rSBU4ds4K
ā€” Full Time DEVILS (@FullTimeDEVILS) May 12, 2016
He said: "Of course I miss it. But in July I will be back. So we are in May and May to July is nothing. I keep enjoying my life which I'm doing, keep enjoying my family. 

"But in July I am back. June 30 (to sign a contract) - that's fine."

Van Gaal stressed recently that he believed that he would see out the remainder of his contract - which lasts until the end of next season - at United, though that hasn't stopped speculation persisting over Mourinho's move to Manchester.

Obviously, nothing is still confirmed yet, but something concrete may just be around the corner.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

Kuna faida kubwa kwa wapenzi kuwa marafiki KUTOKANA na mila mbalimbali, baadhi ya watu wamekuwa wakiamini kwamba mwanamke ni daraja la pili. Daraja la kwanza na lenye kuthaminiwa ni mwanaume. Yaani mwanamke hana kauli kwa mwanaume. Anakuwa kama mtumwa fulani hivi.  Mwanaume akiongea, basi ni maelekezo kama vile rais wa nchi anavyotoa maelekezo kwa watu walio chini yake. Hakuna wa kupinga. Akisema sitaki kitu fulani kifanyike, basi ni mpaka atakapotoa maelekezo mengine. Vinginevyo, maelekezo ya awali yatabaki kusimama kama sheria.  Wapo baadhi ya wanawake wanaofurahia aina hii ya uhusiano kwa sababu ya mazoea. Kwamba wamekuzwa hivyo, mwanaume ni mwanaume. Huu ni mfumo ambao watu wengi wamekuwa wakiuishi. Kuna ambao wanakubaliana nao, wengine hawakubaliani nao.  Watu wengi sana wamekuwa wakiishi katika malumbano katika mahusiano yao kutokana na mfumo huu wa maisha. Mwanamke hataki kuishi kama mtumwa, mume anakomaa kuonesha uanaume wake. Hakuna anayekubali kushuka,...

Fuvu la binadamu wa kale liligunduliwa miaka 60 iliyopita nchini Tanzania

Fuvu la binadamu wa kale liligunduliwa miaka 60 iliyopita nchini Tanzania Miaka 60 siku kama ya leo ugunduzi mkubwa ulifanyika katika eneo la Olduvai Gorge, kwenye kreta ya Ngorongoro. Wanaakiolojia Louis na Mary Leakey waligundua fuvu la mtu anayeaminika kuwa ni wa kale zaidi waliyompa jina la Zinjanthropus. Ugunduzi huo uliofanyika saa nne asubuhi Julai 22, 1959 kipindi hicho kwenye eneo la Tanganyika ulikuwa wa vipande zaidi ya 100 ukasaidia katika kutambua asili ya watu wa awali duniani. Kabla ya ugunduzi huo, wanasayansi na wanahistoria walikuwa wakiamini kuwa binadamu wa kale walitokea Uchina baada ya ugunduzi wa mafuvu ya kale baina ya 1923 na 1927 nchini humo ya Homo eractus, ama maarufu kama Peking Man. Mafuvu hayo ya Uchina yalikuwa na umri wa takribani miaka 750,000. Mafuvu ya Olduvai eneo ambalo kwa sasa lipo Tanzania wakati wa ugunduzi wake lilikuwa na umri wa takribani miaka milioni 1.75, na hakuna mabaki ya mtu wa kale zaidi ambayo mpaka sasa yamegundul...

Urusi: Vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini havitafua dafu

MTEULE THE BEST Image caption Waziri wa maswala ya kigeni nchini Urusi Sergei Lavrov na mwenzeka wa Marekani Rex Tillerson Waziri wa maswala ya kigeni nchini Urusi Segei Lavrov amemwambia waziri wa ulinzi nchini Marekani Rex Tillerson kwamba kuiwekea vikwazo zaidi Korea Kaskazini hakutafua dafu. Taarifa iliochapishwa na wizara ya kigeni nchini Urusi inasema kuwa wawili hao walizungumza kwa njia ya simu na kushutumu majaribio ya makombora ya hivi karibuni yaliotekelezwa na Pyongyang . Lakini inasema kuwa bwana Lavrov alisisitiza kwamba diplomasia ndio njia ya pekee ya kumaliza wasiwasi katika rasi ya Korea, na kutaka hatua zozote dhidi ya taifa hilo kusitishwa akionya huenda zikasababisha madhara yasiojulikana. Waziri wa ulinzi nchini Marekani amesisitiza kuwa bado kuna fursa ya kidiplomasia katika kukabiliana na Korea Kaskazini. Mapema rais Trump alichapisha ujumbe katika akaunti yake ya Twitter akisema mazungumzo sio suluhisho.