Rais Donald Trump kukutana na Rais Putin katika mkutano wa G-20




Rais wa Marekani Donald Trump afahamisha kuwa atakutana na rais wa Urusi Vladimir Putin katika mkutano wa G-20, mkutano ambao unatarajiwa kufanyika nchini Argentina. 

Mkutano wa G-20 utafanyika mwishoni mwa Novemba. 

Rais Trump ametoa taarifa hiyo katika mahojiano aliofanya na waandishi wa habari mjiniikulu mjini Washington. 

Trump atashiriki pia katika hafla ya maadhimisho ya kusitishwa vita  ya mwaka 1918 mjini Paris nchini Ufaransa Novemba 10 n a 11

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

KUMTUMAINIA MUNGU