Ndovu auawa na umeme Uganda

MTEULE THE BEST

 

 

Ndovu mmoja katika mbuga ya wanyama pori ya Queen Elizabeth nchini Uganda, amefariki baada ya kupigwa na umeme, kwa mujibu wa gazeti la nchi hiyo la Daily Monitor.
Shirika la wanyamapori nchini humo (UWA) linasema kuwa msoga wa ndovu huyo, ulipatikana asubuhi kwenye nyaya za umeme zinazounganisha umeme na transifoma moja.
Ukuta wa nyaya uliokuwa ukizunguka transifoma hiyo, ulikuwa umeharibiwa wakati ndovu huyo alijaribu uvuka.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

KUMTUMAINIA MUNGU