MTEULE THE BEST
Mshambuliaji wa England na Tottenham,
Harry Kane atasaini mkataba mpya kusalia White Hart Lane wenye thamani
ya pauni milioni 5 kwa mwaka wiki hii (Independent), Jose Mourinho ana
uhakika wa kumshawishi kiungo kutoka Ufaransa Paul Pogba, 23, kurejea
tena Manchester United miaka minne baada ya kuondoka na kwenda Juventus
(Daily Mail), Manchester United wapo tayari 'kuvunja benki' ili
kumsajili Pogba, huku dau likidhaniwa kufika hadi pauni milioni 100
(Telegraph).


mbazo Robin van Persie, 32, ameruhusiwa kwenda na klabu yake ya Fernabahce (Daily Mail), mshambuliaji wa zamani wa Aston Villa Charles N'Zogbia, 29, anajaribu kufufua mpira wake kwa kufanya mazoezi na Sunderland (Birmingham Mail). Tetesi nyingine kesho tukijaaliwa.
Maoni