Mchoro huo unaofahamika kama Salvator Mundi au (mkomboi wa dunia) - uliuzwa mjini New York kwa dola milioni 450.
Mchoro wa miaka 500 wa Yesu ambao unaaminiwa kuwa wa Leonardo da Vinci, unapelekwa katika makavazi ya Louvre huko Abu Dhabi,
Vyombo vya habari vinasema kuwa mchoro huo ulinunuliwa na mwanamfalme nchini Saudi Arabia.
Mchoro huo unaofahamika kama Salvator Mundi au (mkomboi wa dunia) - uliuzwa mjini New York kwa dola milioni 450.
Mnunuzi wake alishiriki kwenye mnada kwa njia ya simu katika mnada uliodumu kwa takriban dakika 20.
Ndio mchoro uliouzwa pesa nyingi zaidi katika historia.
Mnunuzi wake alishiriki kwenye mnada kwa njia ya simu katika mnada uliodumu kwa takriban dakika 20.
Gazeti la The New York Times liliripoti kuwa ulinunuliwa na Bader bin Abdullah bin Mohammed bin Farhan al-Saud.
Leonardo da Vinci alifariki mwaka 1519 na kuna chini ya michoro yake 20 iliyojulikana hidi sasa
Kuna faida kubwa kwa wapenzi kuwa marafiki KUTOKANA na mila mbalimbali, baadhi ya watu wamekuwa wakiamini kwamba mwanamke ni daraja la pili. Daraja la kwanza na lenye kuthaminiwa ni mwanaume. Yaani mwanamke hana kauli kwa mwanaume. Anakuwa kama mtumwa fulani hivi. Mwanaume akiongea, basi ni maelekezo kama vile rais wa nchi anavyotoa maelekezo kwa watu walio chini yake. Hakuna wa kupinga. Akisema sitaki kitu fulani kifanyike, basi ni mpaka atakapotoa maelekezo mengine. Vinginevyo, maelekezo ya awali yatabaki kusimama kama sheria. Wapo baadhi ya wanawake wanaofurahia aina hii ya uhusiano kwa sababu ya mazoea. Kwamba wamekuzwa hivyo, mwanaume ni mwanaume. Huu ni mfumo ambao watu wengi wamekuwa wakiuishi. Kuna ambao wanakubaliana nao, wengine hawakubaliani nao. Watu wengi sana wamekuwa wakiishi katika malumbano katika mahusiano yao kutokana na mfumo huu wa maisha. Mwanamke hataki kuishi kama mtumwa, mume anakomaa kuonesha uanaume wake. Hakuna anayekubali kushuka,...
Maoni