Haki miliki ya pichaAFPImage captionJukumu la Bi Merkel la kuunda serikali ya muungano huenda likachukua miezi
Angela Merkel anaonekana amechoka, alipowasili katika makao makuu ya chama chake baada ya kumalizika uchaguzi.
Akitoka katika gari lake alitabasamu kwanza kwa wapiga picha waliomsubiri alafu kwa wafuasi wa chama chake waliokusanyika katika makao ya chama cha CDU.
Kansela alitambua kwamba huenda angeshinda uchaguzi huu. Lakini sio ushindi alioutarajia yeye binfasi wala chama chake. Ni matokeo mabaya kwa chama hicho cha kihafidhina chini ya utawala wake.
Huenda ni matokeo ya uamuzi wake kuwafungulia mlango mamilioni ya wakimbizi kuingia Ujerumani.
Akihotubia wafuasi wa chama chake, Bi Merkel amekiri kwamba miaka minne iliyopita imekuwa migumu. Licha ya hayo chama chake kimefanikiwa kwa lengo lake - Kuibuka mshindi.
Nderemo hazikuwa kubwa kwasababau ushindi mkuu wa uchaguzi huu ni wa AfD.
Upande wa pili wa mji huo, katika chumba kilicho sheheni vibofu vya rangi ya samawati na nyeupe, wafuasi wa chama kinachopinga uhamiaji, kinachopinga Umoja wa Ulaya walisherehekea ilipobainika
kwamba hawatoingia bunge kwa mara ya kwanza tu, lakini kwamba watakuwa wafuasi wa chama cha tatu kwa ukubwa bungeni baada ya chama cha Merkel CDU na wapinzani wake wa karibu Social democratic - SPD.
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionWaandamanaji wanaopinga chama cha mrengo wa kulia AfD
Lakini kampeni ya ubaguzi ya AfD na ghasia zilizo tatiza mikutano ya Merkel huenda ni mfano wa yanatorajiwa. Nje ya makao ya chama hicho, maafisa wa polisi wana watazama kwa makini waandamanaji
wanaokipinga AfD dhidi ya kile wengi wanaona ni maendeleo ya kushtusha ya kisiasa.
Kuna migawanyiko, na hisia ya kutoridhia katika taifa hili. Baadhi wanatishiwa na wanachokitaja kuwa ni kukuwa kwa siasa za utaifa za mrengo wa kulia.
Bi Merkel sasa ni lazima atafuta washirika wa kuunda serikali ya muungano. Na ni lazima aishawishi nchi yake na pengine baadhi ndani ya chama chake, kwamba anastahili kazi hiyo.
Zimekuwa ni kampeni ndefu na za kutia uchungu. Huenda Merkel ameshinda lakini ushindi wake hauna kishindo
Uchaguzi huu utaingia katika vitabu vya historia kwa sababu mbili. Huenda Angela Merkel ameshinda hatamu ya nne uongozini lakini ni matokeo mabaya kuwahi kushuhudiwa kwa chama chake.
Na pili wanasiasa wa mrengo wa kulia wanaoshinikiza utaifa, sasa wamejiunga katika utawala wa Ujerumani.
Kilicho kawaida ya siasa katika nchi nyingine nyingi Ulaya kilichodhaniwa hakiwezi kufanyika katika Ujerumani ya baada ya vita vikuu. Sasa kimekuwa
SHERIA 17 ZA SOKA ======================= Mchezo wa soka ni moja ya michezo maarufu sana duniani na ni biashara kubwa sana katika ulimwengu wa michezo na ukitaka kuamini hili angalia makampuni yaliyowekeza katika kudhamini soka – ni makampuni makubwa makubwa yenye hadhi ya kitaifa na kimataifa. Kwa kuzingatia aina hii ya wadhamini, waendeshaji wa mchezo wa soka, wameweka kanuni na miongozo ya kufuatwa ili kuhakikisha kuwa wale wanaowekeza pesa zao wanaona thamani ya uwekezaji wao. Kwa hiyo soka kama ilivyo katika michezo mingine inazo kanuni na tutajadili kanuni moja baada ya nyingine kama zilivobainishwa katika muongozo wa FIFA unaojulikana kwa jina la Law of the Game. Sheria Namba 1: Dimba ============== NYASI - Dimba la soka litakuwa la nyasi asilia au bandia kulingana na kanuni za masindano na nyasi hizo lazima ziwe za rangi ya kijani. Kwa dimba la nyasi bandia na kama mchezo unaochezwa utakuwa wa kutambuliwa na FIFA, basi nyasi hizo bandia lazima zikidhi viwango maalumu ...
Kuna faida kubwa kwa wapenzi kuwa marafiki KUTOKANA na mila mbalimbali, baadhi ya watu wamekuwa wakiamini kwamba mwanamke ni daraja la pili. Daraja la kwanza na lenye kuthaminiwa ni mwanaume. Yaani mwanamke hana kauli kwa mwanaume. Anakuwa kama mtumwa fulani hivi. Mwanaume akiongea, basi ni maelekezo kama vile rais wa nchi anavyotoa maelekezo kwa watu walio chini yake. Hakuna wa kupinga. Akisema sitaki kitu fulani kifanyike, basi ni mpaka atakapotoa maelekezo mengine. Vinginevyo, maelekezo ya awali yatabaki kusimama kama sheria. Wapo baadhi ya wanawake wanaofurahia aina hii ya uhusiano kwa sababu ya mazoea. Kwamba wamekuzwa hivyo, mwanaume ni mwanaume. Huu ni mfumo ambao watu wengi wamekuwa wakiuishi. Kuna ambao wanakubaliana nao, wengine hawakubaliani nao. Watu wengi sana wamekuwa wakiishi katika malumbano katika mahusiano yao kutokana na mfumo huu wa maisha. Mwanamke hataki kuishi kama mtumwa, mume anakomaa kuonesha uanaume wake. Hakuna anayekubali kushuka,...
MTEULE THE BEST TUMSIFU YESU KRISTO WAPENDWA KATIKA BWANA!!! MADA YA LEO: KUMTUMAINIA MUNGU SOMO; zaburi 11:1-7 Kwake MWENYEZI-MUNGU nakimbilia usalama; mnawezaje basi kuniambia "ruka kama ndege mpaka mlimani" Maana waovu wanavuta pinde wameweka mishale tayari juu ya uta wawapige mshale watu wema gizani! Kama misingi ikiaribiwa mtu mwadilifu atafanya nini? MWENYEZI-MUNGU yumo hekaluni mwake takatifu ; kiti cha enzi cha MWENYEZI-MUNGU kiko mbinguni Kwa macho yake huwachungulia wanadamu na kujua kila kitu wanachofanya MWENYEZI-MUNGU hupima waadilifu na waovu huwachukia kabisa watu wakatili Atawanyeshea waovu makaa ya moto na madini ya kiberti upepo wa hari ndiyo itakuwa adhabu yao MWENYEZI-MUNGU ni mwadilifu na apenda uadilifu watu wanyoofu watakaa pamoja naye NENO LA BWANA Unaruhusiwa kuchangia funguka tupate maoni yako MUNGU AKUBARIKI
Maoni