Jeshi la Kenya laua wanamgambo 4 Lamu

MTEULE THE BEST

 

 Wanajeshi wamezima shambulizi kutoka kwa kundi la al-Shabab kaunti ya Lamu nchini Kenya, ambapo wanamgambo wanne waliuawa na silaha kadha kupatikana wakati wa ufyatulianaji huo wa risasi.

Wanajeshi wamekuwa wakiwawinda wanamgambo wa al-shabab baada ya kafanya shambulizi dhidi ya KDF eneo Mangai jana jioni.
Gruneti, bunduki nne aina ya AK47 na vilipuzi vilipatikana.
Jaribio hilo la shambulizi lilifanyika karibu na kijiji cha Baure kilicho umbali wa kilomita 60 kaskazini mwa mji wa pwani mwa Kenya wa Lamu.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

KUMTUMAINIA MUNGU