Jeshi la Israel lashambulia Gaza

MTEULE THE BEST

Ndege za kivita za Israeli zimetekeleza msururu wa mashambulzi ya asubuhi mapema huko Gaza.
Jeshi la Israeli linasema limeshambulia maeneo manne yanayohusishwa na wapiganaji wa Hamas ambao wanadhibiti eneo hilo.
Kulingana na taarifa kutoka kwa vyanzo nchini Palestina, watu wawili wameuawa.

 
Awali kombora lililofytuliwa kutoka Gaza liligonga jengo la shule ya chekechea japo halikuwa na watu.

 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

KUMTUMAINIA MUNGU