Apple kununua Tidal ya Jay Z
MTEULE THE BEST

Duru zimearifu jarida la Wall Street kwamba mazungumzo yameanza na huenda yakasababisha kupatikana kwa makubaliano.
Msemaji wa Tidal amekana kwamba imefanya mazungumzo na Apple.
Jay Z alizindua huduma hiyo mnamo mwezi Machi mwaka uliopita kama mpinzani wa Spotify.
Jay Z aliandamana na Kanye West.
Alicia Keys na mkewe Beyonce ambao wote ni wadau katika kampuni hiyo.
Maoni