Wapiganaji kadha wa IS wauawa Iraq

MTEULE THE BEST

 

Ripoti kutoka nchini Iraq zinasema kuwa wapiganaji kadha wa Islamic State wameuwa walipojaribu kuukimbia mji wa Fallujah, ambao tayari umetekwa na vikosi vya serikali.
Habari zimeifahamisha BBC kuwa wapigagi hao wemeuawa na wakijaribu kukimbia kupitia jangwani wakitumia magari.
Inaaminika kuwa walikuwa wakielekea ngome ya IS iliyo karibu na mbaka wa Syria.
Lakini wakati wapiganaji hao walikuwa wakikimbia, walilengwa na vikosi vya Iraq na ndege za Marekani na kushambuliwa.

 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

KUMTUMAINIA MUNGU