Brazil: Rais Lula kuchunguzwa kwa tuhuma za ufisadi

MTEULE THE BEST

Lula ameongoza Brazili kuanzia 2003 mpaka 2011
Image captionLula ameongoza Brazili kuanzia 2003 mpaka 2011
Mahakama kuu nchini Brazil imesema kuwa Rais wa zamani wa nchi hiyo Luiz Inácio Lula da Silva atachunguzwa ili kuthibitisha kama kweli alihusika katika kashfa ya ufisadi kwenye kampuni kubwa ya mafuta nchini humo Petrobras.
Waendesha mashitaka nchini humo wamesema kuwa Lula alikuwa muhimili mkubwa katika utekelezwaji wa rushwa hiyo.
Lula amekana kuhusika na kusema kuwa hizo ni mbinu za kisiasa za kumzuia kuwania urais mwaka 2018.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

KUMTUMAINIA MUNGU