Kimbunga Hurricane Matthew chaua watu 100 Haiti

MTEULE THE BEST

Miti iliyong'olewa na kimbunga hicho
Image captionMiti iliyong'olewa na kimbunga hicho
Siku mbili baada ya kuipiga nchi ya Haiti, kimbunga Hurricane Matthew kimeendelea kusababisha madhara makubwa hususan maeneo ya Kusini Magharibi mwa nchi hiyo.
Idadi ya watu waliokufa imefikia 100 wengi wakiwa ni kutoka mji wa Roche-à-Bateau na Jeremie.
Picha ya kbla na baada ya kimbunga hicho
Image captionPicha ya kbla na baada ya kimbunga hicho
Nyumba nyingi zimeharibika vibaya, huku wakaazi wake wakiachwa bila chakula na maji.
Mashirika ya kutoa misaada yanasema kuwa asilimia 80 katika baadhi ya maeneo zimehariwa vibaya, miti imengooka na mazao yamezolewa na maji.


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

KUMTUMAINIA MUNGU