Afisa wa tume ya uchaguzi nchini Kenya aliyetoweka apatikana amefariki

MTEULE THE BEST

Mwenyekiti wa IEBC nchini Kenya Wafula ChebukatiHaki miliki ya pichaAFP
Mwenyekiti wa IEBC nchini Kenya Wafula ChebukatiHaki miliki ya pichaAFP
Afisa wa cheo cha juu wa tume ya uchaguzi na mipaka nchini Kenya IEBC, ambaye alitoweka siku ya Ijumaa amepatikana akiwa amefariki.
Chris Musando ambaye ni meneja wa masuala ya teknolojia wa IEBC, alipatikana kwenye chumba kimoja cha kuhifadhi maiti mjini Nairobi
Mawasiliano ya mwisho kutoka mwa Musando aliyafanya siku ya Jumamosi mwendo wa saa tisa alifajiri kupitia ujumbe wa SMS na mmoja wa wafanyakazi wenzake.
    Kisa hiki kinatokea ikiwa imesalia juma moja kabla ya kuandaliwa uchaguzi mkuu nchini Kenya ambao utafanyika tarehe 8 Agosti.
    Polisi wanasema kuwa mwili wa afisa huyo pamoja na wa mwanamke ambaye hakutambuliwa, ilipatikana eneo la kikuyu lililo vitongoji vya mji wa Nairobi na kupelekwa katika chumba cha kuhifadhi maiti.

    Maoni

    Machapisho maarufu kutoka blogu hii

    ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

    MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

    KUMTUMAINIA MUNGU