Odinga: Natarajia kupata ushindi mkubwa Kenya

MTEULE THE BEST

Raila Odinga anawania urais kwa mara ya nne nchini Kenya katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumanne tarehe 8 Agosti.
Anashindana na Rais Uhuru Kenyatta ambaye alimshinda uchaguzi wa mwaka 2013.
Wakati huu Bw Odinga amesema anatarajia kupata ushindi mkubwa.
Amezungumza na mwandishi wa BBC Ferdinand Omondi.

BONYEZA HAPA :- KUPATA PESA BURE KWA KUTUMIA SIMU YAKO JIUNGE HAPA

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

KUMTUMAINIA MUNGU