Ruka hadi kwenye maudhui makuu

Kwa Picha: Harusi ya kifalme ya Prince Harry na Meghan Markle

Mkusanyiko wa picha za kuvutia zaidi kutoka kwa harusi ya kifalme kati ya MwanamfalmeHarry na Meghan Markle.



Umati ulishangilia Mwanamfalme Harry, ambaye sasa atakuwa Mtawala wa Sussex, na mkewe Meghan, Mke wa Mtawala wa Sussex, walipopitia kwenye barabara za mji wakiwa kwenye kigari cha kuvutwa kwa farasi

Inakadiriwa kwamba 100,000 walijitokeza barabara za Windsor

Umati wa watu ulikusanyika kando ya barabara kutazama msafara wa harusi ukipita
Meghan na Mwanamfalme Harry wakiondoka kanisa la St George

 Ragland, mamake bi harusi, Charles Mtawala wa Cornwall (babake Harry) na mkewe Camilla wakiondoka kanisani Wakiondoka kanisaniWaliokuwemo walishangilia wawili hao walipokuwa wanapigana busuWawili hao wakipigana busuWawili hao wakiondoka kanisani baada ya kufunganishwa katika ndoaHarry na Meghan sasa watakuwa Mtawala na Mke wa Mtawala wa SussexMalkia na mumewe, Mwanamfalme Phillip walihudhuria sherehe hiyoMwanamfalme Harry akimfunua MeghanKasisi Michael Curry, mkuu wa kanisa la Episcopal la Marekani ndiye aliyetoa mahubiri, ambapo aliangazia dhana ya upendo Mwanamfalme Harry na Meghan Markle

Bi Markle alipokelewa na Mwanamfalme Charles (babake Harry) na kusindikizwa hadi kwenye madhabahu. babake, Thomas, anaugua

Bi Markle na wasichana na wavulana wasaidizi wa harusi wakiingia kanisani. Mwanamfalme George na Bintimfalme Charlotte walikuwa miongoni mwa wasimamizi wa harusi hiyoMeghan Markle alifika Windsor Castle akiwa amevalia vazi la harusi lililokuwa limeshonwa na Mwingereza Claire Waight KellerMeghan Markle aliondoka hotelini alimolala kuelekea Windsor Castle akiwa na mamake DoriaMke wa Mwanamfalme William, Kate, aliwasili na wasichana na wavulana waliosimamia harusi hiyoMwanamfalme Harry alionekana mtulivu akiwapungia mkono waliokuwa wamefia kufuatilia harusi hiyo, alipokuwa anaelekea kanisani na kakakeMwanamfalme Harry na Meghan Markle katika kanisa la St George kasri la Windsor CastleImage captionBi Meghan Markle akiwasili Windsor CastleMwanamfalme Harry na msimamizi wake kwenye harusi, kakake Mwanamfalme William

Bi Markle akiondoka hoteli ya Cliveden House akiandamana na mamake Doria 

Watu wengi wamekusanyika Windsor kufuatilia harusi hiyo

 Watu hadi 100,000 wanatarajiwa kukaa kwenye barabara za mji huo kutazama msafara wa harusi Wengi walifika kwa treni, magari na mabasi kutoka kila pembe na Uingereza na hata nje ya nchi hiyo Waliofika wakitembea kwenye barabara inayofahamika kama Long Walk kuelekea Windsor Castle.Baadhi walikesha karibu na Windsor usiku kuhakikisha wanapata nafasi bora zaidi ya kujionea msafara wa harusiWageni mashuhuri, wakiwemo Oprah Winfrey na Idris Elba, wamefika kwa sherehe hiyo St George's Chapel, Windsor Castle 

Watu wa kawaida 1,200 - wengi wao wafanya kazi wa kusaidia jamii - walialikwa kwa harusi hiyoKanisa la St George limepambwa kwa maua na matawiKanisa la St George ndani ambapo pia limepambwa kwa maua na matawi

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

Kuna faida kubwa kwa wapenzi kuwa marafiki KUTOKANA na mila mbalimbali, baadhi ya watu wamekuwa wakiamini kwamba mwanamke ni daraja la pili. Daraja la kwanza na lenye kuthaminiwa ni mwanaume. Yaani mwanamke hana kauli kwa mwanaume. Anakuwa kama mtumwa fulani hivi.  Mwanaume akiongea, basi ni maelekezo kama vile rais wa nchi anavyotoa maelekezo kwa watu walio chini yake. Hakuna wa kupinga. Akisema sitaki kitu fulani kifanyike, basi ni mpaka atakapotoa maelekezo mengine. Vinginevyo, maelekezo ya awali yatabaki kusimama kama sheria.  Wapo baadhi ya wanawake wanaofurahia aina hii ya uhusiano kwa sababu ya mazoea. Kwamba wamekuzwa hivyo, mwanaume ni mwanaume. Huu ni mfumo ambao watu wengi wamekuwa wakiuishi. Kuna ambao wanakubaliana nao, wengine hawakubaliani nao.  Watu wengi sana wamekuwa wakiishi katika malumbano katika mahusiano yao kutokana na mfumo huu wa maisha. Mwanamke hataki kuishi kama mtumwa, mume anakomaa kuonesha uanaume wake. Hakuna anayekubali kushuka,...

Urusi: Vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini havitafua dafu

MTEULE THE BEST Image caption Waziri wa maswala ya kigeni nchini Urusi Sergei Lavrov na mwenzeka wa Marekani Rex Tillerson Waziri wa maswala ya kigeni nchini Urusi Segei Lavrov amemwambia waziri wa ulinzi nchini Marekani Rex Tillerson kwamba kuiwekea vikwazo zaidi Korea Kaskazini hakutafua dafu. Taarifa iliochapishwa na wizara ya kigeni nchini Urusi inasema kuwa wawili hao walizungumza kwa njia ya simu na kushutumu majaribio ya makombora ya hivi karibuni yaliotekelezwa na Pyongyang . Lakini inasema kuwa bwana Lavrov alisisitiza kwamba diplomasia ndio njia ya pekee ya kumaliza wasiwasi katika rasi ya Korea, na kutaka hatua zozote dhidi ya taifa hilo kusitishwa akionya huenda zikasababisha madhara yasiojulikana. Waziri wa ulinzi nchini Marekani amesisitiza kuwa bado kuna fursa ya kidiplomasia katika kukabiliana na Korea Kaskazini. Mapema rais Trump alichapisha ujumbe katika akaunti yake ya Twitter akisema mazungumzo sio suluhisho.

Fuvu la binadamu wa kale liligunduliwa miaka 60 iliyopita nchini Tanzania

Fuvu la binadamu wa kale liligunduliwa miaka 60 iliyopita nchini Tanzania Miaka 60 siku kama ya leo ugunduzi mkubwa ulifanyika katika eneo la Olduvai Gorge, kwenye kreta ya Ngorongoro. Wanaakiolojia Louis na Mary Leakey waligundua fuvu la mtu anayeaminika kuwa ni wa kale zaidi waliyompa jina la Zinjanthropus. Ugunduzi huo uliofanyika saa nne asubuhi Julai 22, 1959 kipindi hicho kwenye eneo la Tanganyika ulikuwa wa vipande zaidi ya 100 ukasaidia katika kutambua asili ya watu wa awali duniani. Kabla ya ugunduzi huo, wanasayansi na wanahistoria walikuwa wakiamini kuwa binadamu wa kale walitokea Uchina baada ya ugunduzi wa mafuvu ya kale baina ya 1923 na 1927 nchini humo ya Homo eractus, ama maarufu kama Peking Man. Mafuvu hayo ya Uchina yalikuwa na umri wa takribani miaka 750,000. Mafuvu ya Olduvai eneo ambalo kwa sasa lipo Tanzania wakati wa ugunduzi wake lilikuwa na umri wa takribani miaka milioni 1.75, na hakuna mabaki ya mtu wa kale zaidi ambayo mpaka sasa yamegundul...