Ugonjwa wa polio bado tishio nchini Nigeria
MTEULE THE BEST
Nigeria imeripoti kesi mbili za ugonjwa wa polio katika jimbo la Borno eneo ambalo kuna idadi kubwa ya wapiganaji wa Boko Haram.Watoto wawili wamepooza kutokana na ugonjwa huo.
Shirika la afya duniani limesema ndio kesi za kwanza kwa miaka miwili sasa.
Kesi hizi zimekwamisha matumaini ya kukomesha Polio kwa mwaka huu.
Umoja wa mataifa umekanusha uvumi kuwa chanjo za polio zina lengo la kusababisha kutozaa kwa wailsamu
Maoni