Ugonjwa wa polio bado tishio nchini Nigeria

Ni kesi ya kuripotiwa tokea mwaka 2014 MTEULE THE BEST


Nigeria imeripoti kesi mbili za ugonjwa wa polio katika jimbo la Borno eneo ambalo kuna idadi kubwa ya wapiganaji wa Boko Haram.Watoto wawili wamepooza kutokana na ugonjwa huo.
Shirika la afya duniani limesema ndio kesi za kwanza kwa miaka miwili sasa.

Chanjo ya polio hutolewa kote barani Afrika
Image captionChanjo ya polio hutolewa kote barani Afrika

Kesi hizi zimekwamisha matumaini ya kukomesha Polio kwa mwaka huu.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

KUMTUMAINIA MUNGU