List ya wasanii watakao perform fiesta DSM imetoka

Nandy amepigwa chini?




Moja ya story kubwa ni pamoja na kilele cha msimu wa fiesta kwa mwaka huu wa 2018 ambapo kilele hicho kitafanyika Leaders Club Dar es Salaam siku ya jumamosi ya November 24 ambapo siku ya leo 22, 2018 Waziri wa ladha na vibe kutoka Jamhuri ya Fiesta Kenedy the Remedy ameitaja listi ya Wasanii watakao Perform. 

Katika list hiyo ambayo wametajwa wasanii wakizazi jina la msanii Nandy halijatajwa na kuacha maswali kuwa huwenda Nandy amepigwa chini..? lakini pamoja na hilo bado inasubiriwa list nyingine ya kambi ya upinzani inayohusisha wasanii wakongwe kwenye game ya bongofleva. 

List ya wasanii watakao – perform 

1. Weusi 
2. Rostam 
3. Fid Q 
4. Wakazi 
5. Rich Mavoco 
6. The Mafik 
7. Ben pol 
8. Rosa Ree 
9. Marioo 
10. Barnaba 
11. Billnass 
12. Chege Chigunda 
13. Dogo Janja 
14. Msami 
15. WhoZu 
16. Mimi Mars 
17. Lulu Diva 
18. Zaiid 
19. Mesen Selekta 
20. Maua Sama 
21. Tid 
22. Qchief 
23. Juma Nature 
24.Jolie 
25.Benson 
26.Jay Melody 
27.Mabantu 
28.Brian Simba 
29. Amber Lulu 

Usisahau siku hiyo kutakuwa na mambo mengi ya Surprise hivyo jitaidi mtu wangu uwahi kupata ticket yako mapema kwa Kiingilio cha Elfu Kumi ukinunua kwa Tigopesa master-pass QR, na elfu kumi na tano kawaida

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

KUMTUMAINIA MUNGU