Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Spika wa bunge la Jamhuri ya  Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Job Ndugai ameongoza  mamia ya wakazi wa Songea mkoani Ruvuma kwenye mazishi ya aliyekuwa  mbunge wa jimbo la Songea  mjini marehemu Leonidas Gama aliyefariki Novemba 23 nyumbani kwake Likuyufusi  mjini Songea.


Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

KUMTUMAINIA MUNGU