JOSE AFANYA USAJILI

MTEULE THE BEST

 

 Eric Bailly kwenda Manchester United.

Mlinzi wa Kati wa kikosi cha Villarreal Eric Bailly anaelekea ndiye atakuwa mchezaji wa kwanza kunyakuliwa na meneja mpya wa Manchester United.
Bailly atafanya vipimo vya afya wiki hii na makubaliano yote yanafikiriwa kuwa yamefikiwa na kijana huyo wa miaka 22 ambaye atawagharimu mashetani wekundu takribani paundi milioni 30.
Awali ilifikiriwa kuwa Zlatan Ibrahimovic ndiye angekuwa wa kwanza kusaliwa lakini mpaka sasa mambo yako kimya.


 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

KUMTUMAINIA MUNGU