RAIS WA SOMALIA AZURU KAMBI YA WAKIMBIZI DAADAB
Mashariki mwa Kenya.
Daadab ni miongoni mwa kambi za wakimbizi ambazo zina idadi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani.- Kenya: Wakimbizi Daadab kurejeshwa kwao Novemba
- Wakimbizi wa Somalia warejeshwa kwao
- Tahadhari Kenya wakati wa Ramadhani
Mwandishi wa BBC Bashkash Jugsoday aliyeko Garissa nchini Kenya anaelezea alivyopokewa kwa furaha na bashasha huko Garissa siku ya mwanzo wa mfungo wa Ramadhan.
Hata hivyo, hivi karibuni, serikali ya Kenya imesema wakati umefika kwa kambi hiyo kufungwa.
Awali mpango sawa na huu wa kuwarejesha kwao wakimbizi haukufaulu huku serikali ya Kenya ikilaumu washirika wake yaani Serikali ya Somalia naShirika la Umoja wa mataifa linaloshughulikia maswala ya wakimbizi,UNHCR kwa utepetevu.
Aidha Serikali ya Kenya inasema kuwa mazingira yameharibiwa sana katika eneo hilo lenye ukame.
Waziri huyo aliambia BBC kuwa serikali kwa ushirikiano na serikali ya Somalia na kitengo kinachoshughulikia maswala ya wakimbizi cha Umoja wa Mataifa UNHCR zitahakikisha uhamisho huo inafanyika kwa njia nzuri.
Maoni