Mambo Matano ya Kukera wanayoyafanya Wanawake kitandani

MTEULE THE BEST

 

 

Mambo Matano ya Kukera wanayoyafanya Wanawake kitandani ....... Mpaka kuonekana Gogo la mpingo au mende aliyekufa kibudu
 

1. Kiwango Butu kwenye Romance au foreplay. Ni ukweli usiopingika kuwa hii ngwe ni muhimu kwa mwanamke ili kumlainisha na kuyaamsha maruhani yake ya Sindimba, Ilaa Dooh, yan ww ndio ukae tu kama kinda linasubiri kulishwa, mtu unatalii pande zote za mwili na ulimi kama unapiga deki jumba la kale yeye amekaa tu kama ana mdondo, hata haonyeshi na yeye mautundu yake ya kike akakupa morali ya kuendelea, Jamani jitahidini basi baada ya dakika tano na ww unamgeuza mwenzio kidogo unampa vionjo ya akadumba ili asichoke akaamua kusitisha ligwaride haraka na kuanza mapambano wakati wewe hata mori ya kuvaa gwanda hujapata. Hii ndio stage ya kuhakikisha mwanaume hakuingilii kama hauja nyevuka huko chemba, akitaka tu unamviriga unatomasa mgongo anasahau kidogo kule, ila ww ukitulia utaingiliwa mkavu tu unalalama kama Mlango uliokosa grisi.


2 Mawasiliano F wakati wa game. Sapporo naona hili tatizo ni la pili kwa ukubwa linaloboa haswaaa. Wanawake miili yenu "is an Art" hivyo ni vigumu kuielewa ila nyie ndo mnaielewa zaidi, unakuta kwenye mpinduano unamuuliza mtu mapigo hayo vipi anabaki kuguna tu wakati anakarahika afu mwishoni wazungu washashushwa unalalamika kwa mashoga kuwa hajakufikisha unategemea nini ? kwamba mwanaume ni mfalme Njozi aote unataka kupekenywa vipi?? Ongea beb hapo nooo...hapo ongezaa...hapo hapo kamatiliaa, hata dume linajua kweli Hapa Kazi Tu mpaka kieleweke, we kaa kimya utabaki kusonya kimoyomoyo mwenzio anapasua nazi kontena.


3 Kujifanya innocent chumbani kama Maria Mangadalena wa Yerusalemu. Hii inaboa sana as F**k yani mmehaidiana vizuri mpaka umefika chumbani halafu manzi ananza kujifanya anaona aibu , unamshika hivi anageuka vile kama kambale aliyetoka mwaloni, kweli aibu kwa mwanamke suna ila sio hii ya kujifanya hata kuvua huwezi au kumuangalia usoni, unakuta amelala chali anaangalia darini kama mgonjwa wa kifadulo yan mpaka kumvua kijasho kinakutoka utafikiri unakanda maandazi ya hitima, achenii hii mambo toa ushirikiano, ukikubali kuchinjwa legeza shingo.


  4 Kula Tango kwa fujo. Staha katika ulaji kitu kitamu ni muhimu kina dada, sikuhiz kujifanya wa kisasa kila mtu anajifanya anapenda tango, hata hujanoga vizuri juu kwa juu anakudaka anatafuna, sasa yale meno yaliyokomaa kwa kufungua vizibo ya castle light ndio yanazingua, Inaboaa kuweni wastaarabu lips na ulimi tu basi afu taratibu unaongexa spidi kidogo.

5 Hii sababu ya tano nitasema kwa maneno machache tu..... Mauno Muhimu Ebooo. Pia kujiongeza sio muda wote unapelekwa kama ndama machungoni sio mbaya na wewe kusimamia show na kutoa directions, wanasema kwa kimombo its naughty and sexy. Men love that 


Heheh nilitaka kusahau....Jamani mkioga vizuri hata pafyumu moja utanukia, mwanamke anajipulizia pafyumu saba tena zile za bei rahisii, shingo inanukia uaridi, kwapa matango, huko chini mapapai, kiuno haieleweki, mnatuchanganya unakua utafikiri uko kwenye bustani ya maua. Badilikeni jamani

 

 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

KUMTUMAINIA MUNGU