MATENDO MAOVU YA NDOA

MTEULE THE BEST

MTEULE THE BEST  TUMSIFU YESU KRISTO!!!

MADA YA LEO:-    

             MATENDO MAOVU YA NDOA


 SOMA WALAWI 18:1-30

MWENYEZI-MUNGU alimwambia MOSE "waambie watu wa Israel hivi: 

Mimi ndimi MWENYEZI-MUNGU MUNGU WENU

Kamwe msifanye kama walivyofanya watu wa misri ambako mlikaa; wala msifanye kama wafanyavyo watu wa nchi ya kanaani ambako  nawapeleka 

kamwe msifuate mitindo yao  ninyimtafata maagizo yangu na kuyashika masharti yangu  mimi ndimi MWENYEZI-MUNGU MUNGU WENU 

''Mtu yeyote wa israel haruhusiwi kumkaribia mtu wajaa yake wa karibu ili kulala naye mimi ndimi MWENYEZI-MUNGU MUNGU WENU  

kamwe usimvunjie heshima baba yako kwa kulala na mama yako aliyekuzaa usimwaibishe yeye ni mama yako 

kamwe usimvunjie heshima baba yako kwa kulala na moja ya wake zake hao ni mama zako 

kamwe usilale na dada yako awe dada yako  halisi au dada wa kambo 

kamwe usilale na mjukuu wako ,mtoto wa mwanao  au binti yako maana sehemu zao za siri ni kama zako mwenyewe 

kamwe usilale na msichana aliyezaliwa na mama yako wa kambo aliyeolewa na baba yako msichana huyo ni dada yako 

kamwe usilale na shangazi yako kwani huyo ni dada wa baba yako

kamwe usilale na dada ya mama yako  kwani huyo nimama yako mkubwa au mdogo 

kamwe usilale na mke wa baba yako mkubwa au mdogo,huyo nimama yako 

kamwe usilale na mke wa mwanao , huyo ni mkewe mwanao kamwe usilale naye

kamwe usilale na mke wa ndugu yako huyo ni shemeji yako 

ukilala na mwanamke basi kamwe usilale naye na binti yake wala wajukuu zake hao ni ndugu kuwachanganya ni kufanya uovu 

kamwe usimwoe dada wa mkeo wakati mke wako yungali hai ; hiyo itasababisha ushindani

kamwe usilale na mwana mke awapo mwezini 

kamwe usilale na mke wa jirani yako na hivyo kujitia mwenyewe najisi naye 

kamwe usimtoe mtoto wako yeyote kuwa sadaka  kwa mungu-moleki maana kufanya hivyo hutalikufuru jina langu mimi MUNGU wako mimi ndimi  MWENYEZI-MUNGU MUNGU WENU  

kamwe  usilale na mwanaume mwenzio kana-kwamba mwanamke hilo ni chukizo 

kamwe usilale na mnyama ili ujitie najisi mwanaume au mwanamke yeyote kamwe asifanye hivyo ;kufanya hivyo ni upotevu

 

Msijitie najisi kwa kufanya hayo mambo kwani kwasababu ya mambo hayo nawafukuza mataifa yaliyo mbele yenu kwa vile hufanya hayo na kujitia najisi

nchi yao ilitiwa najisi nami nikaiadhibu nayo ikawakataa wakazi wake 

lakini nyinyi na wageni wanao kaa kati yenu ni lazima kuyashika masharti  na maagizo yangu  na wala msifanye machukizo hayo 

machukizo hayo walifanya watu waliokaa katika nchi ya kanaani kabla yenu ,nao wakaitia nchi najisi 

basi nyinyi msifanye mambo hayo la sivyo nchi itawatapika kama ilivyo watapika taifa lililokuwa kabla yenu 

watu wote watakaofanya mambo hayo ya kuchukiza ni lazima watengwe mbali na watu wao 

kwahiyo sikien kikamilifu yote ninayo waagiza ;msifate mazoea yeyote ya kuchukiza yaliyofanywa na wale walioishi nchini kabla yenu msije mkajitia najisi kwayo 

mimi ndimi

MWENYEZI-MUNGU MUNGU WENU  

NENO LA BWANA

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

KUMTUMAINIA MUNGU