Shughuli ya kumuapisha Odinga imehairishwa

MTEULE THE BESTBEST


Raila Odinga
Muungano mkuu wa upinzani nchini Kenya NASA, umetangaza kuhairishwa kwa shughuli ya kumuapisha kinara mkuu wa muungano huo Raila Odinga na Stephen Kalonzo Musyoka, kama rais na makamu wa rais mtawalia wa Jamhuri ya Kenya, kwenye Shughuli ambayo ilikuwa imepangwa kuandaliwa tarehe 12 mwezi huu

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

KUMTUMAINIA MUNGU