Democrat wawashinda Republican huko Alabama

MTEULE THE BEST


Democratic Alabama U.S. Senate candidate Doug Jones and wife Louise acknowledge supporters at the election night party in Birmingham, Alabama, U.S., December 12, 2017.
Democtrat wawashinda Republican huko Alabama
Doug Jones amakuwa mwanasiasa wa kwanza wa Democrat katika kipindi cha miaka 25 kushinda kiti cha Seneta katika jimbo la Alabama nchini Marekani baada ya kanpeni kali ya kumpinga mgombea wa Republican Roy Moore kwa kura 51-49.
Huku asilimia 99 ya kura zikiwa zimehesabiwa, Bw Moore alikataa kukubali kushindwa Jumanne usiku
    Alipambana na kampeni yenye utata ambapo madai yaliibuka kuhusu dhuluma za kimapenzi na wasichana wadogo.
    Bw. Moore ambaye amesema kuwa anaamini mapenzi ya jinsia moja yanastahili kuharamishwa amekana mara nyingi madai dhidi yake
    Supporters of Doug Jones celebrate at the election night in Birmingham, Alabama.
    Democtrat wawashinda Republican huko Alabama
    Vyombo vingi vya habari vimeripoti kuwa Jones ameshinda baada ya asilimia 99 ya kura kuhesabiwa.
    Lakini Moore, 70 aliwaambia wafuasi wake kuwa bado mambo hayajakwisha.
    Alisema anaamini mwanya wa ushindi utapungua wakati kura zinaendelea kuhesabiwa.
      Licha ya Bw. Moore kukataa kushindwa, Rais Trump alimpongeza Bw Jones kupitia mtandao wa Twitter muda mfupi baada ya vyombo vya habari kumtangaza kuwa mshindi

      Maoni

      Machapisho maarufu kutoka blogu hii

      ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

      MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

      KUMTUMAINIA MUNGU