Sehemu ya helikopta ya jeshi la Marekani yaanguka shuleni Japan

MTEULE THE BEST


Sehemu ya helikopta ya jeshi la Marekani yaanguka shuleni Japan

Sehemu ya ndege ye jeshi la Marekani imeanguka kwenye shule katika kisiwa cha Okinawa nchini Japan na kuzua upya misukosuko na watu wa eneo hilo.

Sehemu hiyo ya dirisha ilianguka kwenye uwanja wa shule na kusabisha majeraha madogo kwa mwanafunnzi mmoja.

Kisiwa cha Okinawa kina kambi kuwa zaidi ya jeshi la Marekani nchini Japan.
Sehemu ya helikopta ya jeshi la Marekani yaanguka shuleni Japan
Katika miaka ya hivi karibuni, ajali kadha na visa vya uhalifu vimesababisha kuwepo upinzani dhidi ya kambi hiyo ya Marekani.
Jeshi la Marekani lilithibitisha kuwa dorisha kutoka moja ya helikopta zake ilianguka kwenye uwanja wa michezo wa shule iliyo nje ya kambi ya yake ya jeshi la wanahewa.

Gavana wa Okinawa Takeshi Onaga aonyesha picha ya dirisha iliyoanguka shuleni

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

ZIJUWE SHERIA 17 ZA SOKA

MAPENZI: Kuna faida na ni muhimu Mpenzi wako kuwa rafiki yako pia

KUMTUMAINIA MUNGU